UTANGULIZI.
kuku wa kisasa (broiler) ni mbegu ya kuku iloyoboreshwa kitaalam zaid katika maabala kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watumiaji ndani ya muda mfupi.
MAHITAJI.
kwa mtu anaye tarajia kuwa mfugaji wa kuku wa kisasa lazima atambue baadhi ya mahitaji kwa ajili ya kuendeleza mpango kazi wake.
A.Eneo kwa ajili ya kujenga banda.
Angalau eneo lake liwe na ukubwa wa kutosha kwa ajili kujenga banda.
B.Zana na mahitaji ya kujengea
Yawe yenye kupatikana katika eneo husika kuepuka ongezeko la gharama za kufanyia manunuzi ya mahitajo hayo.
C.Aina ya kuku kulingana na mahitaji ya mfugaji.
Mfugaji lazima ajue ni aina gani ya kuku anaotamani kuwa fuga na soko lake kwa ujumla.
D.Upatikanaji wa vyakula,matibabu kwa ajili ya mifugo.
Pia mkulima lazima ajue kuwepo na upatikanaji wa mahitaji kwa ajili ya kuku wake kama vykula tofauti tofauti,madawa kwa ajili ya matibabu kuepukana na vifo visivyo vya lazima katika banda lake.
NB.
Ni kuku wenye uwezo wa kuku kwa uharaka zaidi kuanzia wiki nne hadi sita na kuweza kukidhi mahitaji ya watumiaji.
Pia ukuaji wake unategemea na matunzo katika
A.Vyakula
B.Matibabu
C.Mazingira kwa ujumla(miundo mbinu ya mabanda na usafi).
Pia kwa mfugaji au kwa mtu anayependa kuwa mfugaji wa kuku hawa wa kisasa ni lazima afahamu kuwa baridi sio rafiki kabisa wa kuku wa kisasa hasa wakiwa katika hatua ya vifaranga.
ggh
Blog Archive
Search This Blog
About Me
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UFUGAJI WA KUKU PAMOJA NA MABANDA YAKE
monk MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA Kabla ya kuleta vifaranga Maranyingi ufugaji wa kuku huanza na vifaranga, na kwa kuwa vifaranga huwe...
-
1.zao la vanila asili yake ni Amerika ya kati huko mexico,costa rica pamoja na guatemala ambako lilianza kutumika katika karne ya 15 na kufi...
-
monk MAANDALIZI YA KUPOKEA VIFARANGA Kabla ya kuleta vifaranga Maranyingi ufugaji wa kuku huanza na vifaranga, na kwa kuwa vifaranga huwe...
-
Nguruwe ni mnyama ambaye katika uhalisiwa wa ukuaji wake anakua ndani ya muda mfupi kumlinganisha na ng'ombe .Katika utafiti wa muda mwi...
No comments:
Post a Comment